Job 17:1-6
1 aMoyo wangu umevunjika,siku zangu zimefupishwa,
kaburi linaningojea.
2 bHakika wenye mizaha wamenizunguka;
macho yangu yamebaki kutazama uadui wao.
Ayubu Anaomba Msaada
3 c“Ee Mungu, nipe dhamana unayodai.
Ni nani mwingine atakayeweka dhamana kwa ajili yangu?
4 dUmezifunga akili zao zisipate ufahamu,
kwa hiyo hutawaacha wapate ushindi.
5 eKama mtu akiwashutumu rafiki zake ili apate ujira,
macho ya watoto wake yatashindwa kuona.
6 f“Mungu amenifanya kitu cha dhihaka kwa kila mtu,
mtu ambaye watu humtemea mate usoni.
Copyright information for
SwhKC